Group Hero

Muslims in Tanzania

social.group.members

🇹🇿🕌 A group for Muslims in Tanzania, where we celebrate our faith and cultural diversity.

Share group

Vinapatikana kwa jumla na reja reja

Share

Allah atupe subra kwa yote tunayopitia🤲

social.contentViewer.likes
6
Share

Assalam alaykum
Allah atupe neema zilizo na kheri kwetu inshaallah 🙏

media
social.contentViewer.likes
Share

Subra😘😘

social.contentViewer.likes
1
Share

Moyo wa mtu ni kama maji ya mto,
kuna nyakati hutiririka taratibu bila madhara, kiasi kwamba unaweza kuyaelekeza na kuyatumia kwa amani.
Lakini pia kuna nyakati huja kwa kasi kubwa na mawimbi mazito.
Wakati huo si jukumu lako kuyazuia, bali kuyaacha yapite hadi yatulie.
Na yakishatulia, ndipo unaweza kuendelea tena na safari na matumizi yako kwa utulivu......Sababu ukishindana na kasi ya maji, hata wewe yanaweza kukuletea madhara.
Ndivyo ilivyo kwa moyo wa mwanadamu, kuna hisia hazihitaji kupingwa kwa nguvu, bali kupewa muda zipite na zitulie zenyewe.
Maana wakati mwingine utulivu haupatikani kwa kupambana, bali kwa kusubiri mawimbi yapungue.

media
social.contentViewer.likes
1
Share
Anonymous

27 days ago

Asalam alaykum habarini ndugu zangu

media
social.contentViewer.likes
1
Share

Alhamdulillah Alhamdulillah for everything

social.contentViewer.likes
Share

Is there muslim sister located in arusha we can join going to training ourselves reading quran we might choose a place according to location

social.contentViewer.likes
Share

Any serious Muslim lady in box on 0781594803

Share